SHEREHE YA KIPAIMARA YA "DEBORAH" YAPENDEZA

Bi. deborah Joel Mwambalaswa muda mfupi baada ya kupata Kipaimara

Bi Deborah Joel Mwambalaswa leo katika Kanisa la KKKT Magogoni Kigamboni Dar es Salaam amekamatia nafasi muhimu ya safari ya maisha yake baada ya kupata Kipaimara. Bi. Deborah binti mwelevu na pekee katika familia ya Bwana na Bibi Joel Mwambalaswa amehitimisha nafasi hii katika maisha yake upande wa kidini.

Kanisa la KKKT Magogoni Kigamboni Dar es Salaam

Tafrija fupi ya kumpongeza Bi. Deborah ilifanyika nyumbani kwao Navy Kigamboni Dar es Salaam kwa Shamra shamra na nderemo za wageni waalikwa, ndugu, marafiki na kikundi cha kwaya ya Uinjilisti toka KKKT Magogoni.

Waimbaji wa Kwaya ya Uinjilisti Kanisa la KKKT Magogoni kigamboni wakitoa burudani katika tafrija ya Deborah Navy Kigamboni

Deborah kushoto na mpambe wake katika pozi adimu


Deborah na Mpambe wake Beach


Deborah na Mdogo wake



Mama Mdogo wa Deborah kushoto (Neema), Debora na mpambe


Mama Mdogo wa Deborah kushoto (Neema), Debora na mpambe wakiwa Beach Mwl Nyerere Memorial College



Deborah na Mama yake mdogo (Neema)




Deborah Joel Mwambalaswa


Mpambe wa Deborah




Deborah akimlisha keki Baba yake mzazi Mr. Joel Mwambalaswa

Deborah akimlisha Mama yake mzazi keki


Deborah wakilishana keki na mpambe wake



Bi. Deborah Joel Mwambalaswa


Deborah na wazazi wake Mr & Mrs Mwambalaswa


Baba na Mwana


Mama Na Mwana


Familia nzima ya Mr & Mrs Mwambalaswa

Katika Sherehe hii, Camera Operator: Hassan Haji Ndunda

Still Picture: Mbwana Mfaki

Produced by: HVP Studio (Haji'z Video Production)

Location: Kigamboni Dar es Salaam

Tuone Leo nasi tutakuhudumia ki-professional zaidi na kisasa zaidi karibuni HVP Studio (The digital artist video professional)

Post a Comment

0 Comments