Rais Jakaya Kikwete akikata utepe kuashiria kufungua rasmi barabara ya kutoka Mkuu Rombo hadi Tarakea yenye urefu wa kilomita 32 iliyojengwa kwa kiwango cha lami, katika kijiji cha Tarakea, wilaya ya Rombo, mkoa wa Kilimanjaro jana. Wengine ni Mbunge wa Hai Freeman Mbowe (kulia kwa Rais), Waziri wa Ujenzi, John Magufuli (wa kwanza kushoto), na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama (kulia).
Na Mwandishi wetu

0 Comments