Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Waziri Mkuu wa Canada Mhe Stephen Harper
katika jengo la Bunge la Seneti la nchi hiyo, ambapo viongozi hayo
wawili walifanya mazungumzo Alhamisi Oktoba 4, 2012
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete na mwenyeji wake Waziri Mkuu wa Canada Mhe
Stephen Harper wakishudia uwekaji sahihi mkataba wa ushirikiano kati ya
Waziri wa Mambo ya Nje na ushirikiano wa Kimataifa wa Tanzania Mhe.
Bernard Membe na Waziri wa Canada katika Bunge la seneti la nchi hiyo
Alhamisi Oktoba 4, 2012
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akipanda mti katika bustani ya Jumba la Rideau
Hall jijini Ottawa katika siku ya pili ya ziara yake rasmi nchini Canada
huku akishuhudiwa na Gavana Jenerali wa nchi hiyo Mhe David Johnson na
mkewe Mama Sharon Johnson Alhamisi Oktoba 4, 2012
0 Comments