Rais Jakaya Kikwete, na mwenyekiti wake, Waziri
Mkuu wa Canada Stephen Harper (wapili kulia) wakishuhudia wakati Waziri
wa Mambo ya nchi za nje na ushirikiano wa kimataifa, Bernard Membe
(kushoto) akibadilishana hati na waziri katika baraza la seneti la nchi
hiyo jana. Mkataba huo ulihusu makubaliano ya ushirikiano wa nchi hizo
mbili.
Na Mwandishi wetu
0 Comments