Agness Geofrey Kimimba |
AGNESS GEOFREY KIMIMBA
Binti anayekuja juu hivi sasa hapa nchini Tanzania hususan katika mchezo wa kuogelea.
Agness anayechezea timu ya kuogelea ya Marine Tanzania Swimming Club yenye Makao yake Makuu Kigamboni katika Manispaa ya Temeke katika Jiji la Dar es Salaam, amekuwa ni binti mwenye jitihada kubwa katika mchezo huu pale anaposhiriki katika mashindano mbali mbali yaliyokwishafanyika ndani na nje ya nchi.
Ebu pitia Profile yake hapa chini:
Jina
Kamili: AGNESS GEOFREY KIMIMBA
Umri: 10 Yrs
Jinsia: Female
Shule: Ufukoni Primary School
Kigamboni Dar es Salaam
Mashindano
aliyokwishashiriki:
-
Mainland mara 3 - Funkys Masaki Dar
es Salaam
- Hopac
Tegeta Dar es Salaam
-
Championship x 3 - Funkys Masaki Dar
es Salaam
- Hopac
Tegeta Dar es Salaam
-
Uganda Invitation - Kampala Uganda
- Open
Championship - IST (International School
of Tanganyika) Dsm
- Riding Star 2010 - Dar es Salaam
-
CANA Zone 4 - Maputo Msumbiji
Medali:
Mpaka
hivi sasa Agness Geofrey Kimimba ana jumla ya medali 32 zikiwa za Gold – 7,
Silver – 14 na Bronze 11
Agness |
Agness Geofrey Kimimba |
0 Comments