SHEREHE YA HARUSI KATIKA YA BW, MARSHALA JACKSON NA BI. ROZINA
ILIYOFANYIKA TAREHE 4 AGOSTI' 2012 KATIKA KANISA LA KISIMA CHA REHOBOTH UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM NA KISHA TAFRIJA KATIKA UKUMBI WA LANDMARK HOTEL UBUNGO KARIBU NA RIVERSIDE UBUNGO DAR ES SALAAM.
SHEREHE ILITAWALIWA NA NDEREMO NA VIFIJO KWA WAZAZI, KAMATI YA MAANDALIZI NA WAGENI WAALIKWA WALLIOHUDHURIA KATIKA SHEREHE HIYO
Rozina na Matron wake The Crab Classic Salon Mabibo |
Matron na Rozina The Crab Classic Salon Mabibo |
Waimbaji wa Kanisa la Kisima cha Rehoboth Ubungo Dar es Salaam |
Marshala kulia akiwa na Patron wake mara baada ya kuingia Kanisani |
Pastor Charles aliyefungisha ndoa ya Marshala na Rozina |
Marshala akihakikisha kuwa ndiye Rozina kweli? katika Kanisa la Kisima cha Rehoboth Ubungo Dar es Salaam |
Waimbaji Kanisa la Kisima cha Rehoboth Ubungo Dar es Salaam |
Rozina pokea pete hii iwe ishara ya upendo wangu kwako na hata milele |
Mara baada ya kiapo cha ndoa Marshala akitoa neno katika Kanisa la Kisima cha Rehoboth Ubungo |
Bi. Harusi Rozina |
Maharusi na wasimamizi wao wa ndoa EPZA Mabibo |
Marshala na Rozina EPZA Mabibo Dar es Salaam |
Maharusi, Mzee James Dandu, Mama Marshala, Mama mdogo na wasimamizi wa ndoa |
Flower Girl and boyz katika pozi EPZA Mabibo |
Maharusi na ndugu zao |
Marshala & Rozina EPZA Mabibo |
Marshala & Rozina EPZA Mabibo External |
Mzee James Dandu (Baba mzazi wa marehemu Cool James Mtoto wa Dandu) na Mama Marshala |
MC: Sylvester Malilo |
Wazazi wa Rozina Ukumbini Landmark Hotel Ubungo |
Mzee James Dandu (Baba mzazi wa marehemu Cool James Mtoto wa Dandu) |
Mzee James Dandu (Baba mzazi wa marehemu Cool James Mtoto wa Dandu) akitoa nasaha kwa Mjukuu wake Marshala |
Wakati wa maakuli |
Marshala na Comandoo wa Yesu (Mama Singiri) |
0 Comments